
Paroles de Mbwa
...
Paroles de Mbwa Par D VOICE
Mwambie nishatukana mamba
Na mto nimeuvuka
Tena niko salama
Sijadhurika wala
Nishafuta na number
Na wala sijamkumbuka aa
Yaani niko salama
Nalishwa nalala
Niliyempata tonge busu
Sio tonge ngumi
Nadekezwa rahaaa
Sio tena nusu nusu
Huba kilo kumi
Mwenzenu nadekezwa rahaaa
Ex mbwa
Na mashoga zako (mbwa tu)
Ex mbwa
Na ndugu zako (mbwa tu)
Ex mbwa
Na marafiki zako (mbwa tu)
Ex mbwa
Na ndugu zako (mbwa tu)
Kwa uzuri gani mpaka nikulilie
Eti nitakukumbuka kwani
We baba wa taifa
Labda niwe nimedata
Ndio nikurudie eee
Sina hata cha kujuta
Ndio nikupe taarifa
Huku wali nazi
Paka chai nazi
Sio wewe komando kipensi
Mandonga mtu kazi
Huku wali nazi
Paka chai nazi
Sio wewe komando kipensi
Mandonga mtu kazi
Niliyempata tonge busu
Sio tonge ngumi
Nadekezwa rahaaa
Sio tena nusu nusu
Huba kilo kumi
Mwenzenu nadekezwa rahaaa
Ex mbwa
Na mashoga zako (mbwa tu)
Ex mbwa
Na ndugu zako (mbwa tu)
Ex mbwa
Na marafiki zako (mbwa tu)
Ex mbwa
Na ndugu zako (mbwa tu)
Ecouter
A Propos de "Mbwa"
Plus de Lyrics de D VOICE
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl