ALIKIBA Mahaba  cover image

Paroles de Mahaba

Paroles de Mahaba Par ALIKIBA


Yeah
Yogo on the beat
Siku hizi hakuna Mahaba (yeah mahaba)
Mapenzi ya Mkataba mpaka kufa yamekwisha
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha Yanafuja raha nafsi yangu inasema
Bura nimpende tu aliyenizaa
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Na sina kumbukumbu  ile
kwamba ulinikoshaaa noo
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya Nisile
Na sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikoshaaa noo
Mwezako mi nilikufa
Nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh

Sikiliza kwanza
We Dada, we Dada
Misio mgensi
Yalishannikaba mapezni   yalinikausha
Natamani kuwa single ila na upwiru unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndo mi wanaonitoa roho
Na siri tu jambo lile ni kama chakula lazimanile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Na siri yake tu jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Mwezako mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh

Ecouter

A Propos de "Mahaba "

Album : Mahaba (Single)
Année de Sortie : 2023
Copyright : ©2023 Kings Music Records.All rights reserved.
Ajouté par : Sainclair Fonkou
Published : Jun 30 , 2023

Plus de Lyrics de ALIKIBA

ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl