
Nyasaye Rita Lyrics
...
Nyasaye Rita Lyrics by ETHAN MUZIKI
Kuna watu nguvu zao ni za giza
Chini chini wanapanga kukuumiza
Hawawezi shindana na Ebenezer
Maombi za nyumbani zinaniweka
Hauwezi dim mwangaza wangu
Hauwezi dim najiamini
Kila siku najiamini hawanioni niko on my time
Upepo wa bahari na utamu wa my tide
Wakuenda mi sijali wataenda
Wakunipenda najua watanipenda
Aliye juu huyo ndiye naimpress
Na nitazidi kutesa
Ilishaandikwa
Nani anaweza kuipinga
Hakuna anaeweza futa jina
Mungu pekee ndie kusema
Iliandikwa ilishaandikwa
Ilishaandikwa ilishaandikwa ilishaandikwa
Nyasaye rita Nyasaye rita Nyasaye rita
Ilishaandikwa ilishaandikwa ilishaandikwa
Nyasaye rita Nyasaye rita Nyasaye rita
Yeah aah
Nasijali mahali napita
Najua nimeshinda vita
Number one I get to keep a hundred saa hii I keep it a meter
Ona mboka imejipa
Ngori nzao zikidiffer
I know I got my bro on speed dial ama vipi Kethan
Nowadays nazipata Baraka daily ni ka naziorder kwa ebay
I reside in Canaan milk in abundance
And I never run on the debray
In the wilderness I was never alone nikipigwa na vumbi ya kite
Now ten years later I’m on my throne kichele inaflow kama rive
Nani anabishana na most high
Background nimetoka ni hostile
But I held my had high despite that
Ju nilijua God ako close
And I won’t lie
Man I met some people whose intention was to break my soul
But at no point I said that I would give up on my dreams and goals
And you can do the same
You can make it through the pain
Ilishaandikwa brathe
Binadamu hawezi change
So no matter the situation you going through
Keep your head up hommie
This song is dedicated to you
Iliandikwa ilishaandikwa
Ilishaandikwa ilishaandikwa ilishaandikwa
Nyasaye rita Nyasaye rita Nyasaye rita
Ilishaandikwa ilishaandikwa ilishaandikwa
Nyasaye rita Nyasaye rita Nyasaye rita
Wanaulizia dakitari
Naleta dawa nikiwaonjesha kiasi
Ni tamu sana
Utamu wa sharubati huwezi kana
Naifanyanga tofauti sio majini
Jijini hakukaliki bila kujituma
Na ninajua ilishaandikwa
Nyasaye rita Nyasaye rita
Watch Video
About Nyasaye Rita
More ETHAN MUZIKI Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl