...

Heri Lyrics by ETHAN MUZIKI


Unanijua na me najua shida zako

We keep going in circles

Na sioni njia hapo

Kama umechoka

Niambie tuileave

Siogopi kua single

Mbona leo kuchekeshana, kupendana tumechizika

Kesho kwenye kisima futi sita tumejizika

Na kama umepata anaye kupa vitu sina

Si nitaelewa sisi wote watu wazima

Ju rangi rangi ndege mwenye rangi hafichiki

Wengi wengi wengi wnatamana sio mashabiki

Maabusu wa mapenzi

Tunaachana tukirudiana

Nusu nusu mimi siwezi heri niende niwache niende

You know you mean so much to me

Don’t take me for granted

And I will give you everything hata bila asante

I’ll let you in and when you leave

I deal with the damage

I deal with a heart ache

Usiku usiku ukiwa mbali na nikiwa mavitu

Wivu naona wivu

Ukona nani naogopa jibu

Maabusu wa mapenzi

Tunaachana tukirudiana

Nusu nusu mimi siwezi heri niende niache niende

Maabusu wa mapenzi

Tunaachana tukirudiana

Nusu nusu mimi siwezi heri niende niache niende

Na siwezi ni kama siwezi

Watch Video

About Heri

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 29 , 2025

More ETHAN MUZIKI Lyrics

ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl