Kata Lyrics by B CLASSIC 006


Na nilivyokuonaga katoto shepu go gaga
Na vile umejitanda kwako baby nishadata
Na mapenzi ya kweli sio kuzo
Na kama namba nakupa 
Wengine matapeli leo najua
Ndio maana nishapenda

Yaani kinyamwezi baby nikupe roho
Usiwape mwanya wakuboo
Maana nitakwama nawe, nitakwama nawe
We ndo wangu my boo

Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza
Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza

Nataka nikuhonge jaguar mama, jaguar mama
Njoo nikupe na banana, na banana 
Tunafanana kama mapacha baby
Yaani msambwanda ukiwa kwa bed

Tatu beki ina maudeki
Yaani mpaka mi nakosaga breki
Kwako nina hisia baby nipigie 
Kidume mi badili kwako tazamia

Yaani kinyamwezi baby nikupe roho
Usiwape mwanya wakuboo
Maana nitakwama nawe, nitakwama nawe
We ndo wangu my boo

Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza
Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza

Ka ligi soo kifo cha mende chali
Yaani kama whine kwa party
Oh baby njoo sura ka mudoli
Pete nikuvishe kwa kidole

Yaani kinyamwezi baby nikupe roho
Usiwape mwanya wakuboo
Maana nitakwama nawe, nitakwama nawe
We ndo wangu my boo

Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza
Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza

Watch Video

About Kata

Album : Kata (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 14 , 2021

More B CLASSIC 006 Lyrics

B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl