Dua Lyrics by DULLA MAKABILA


Aya Rabi takabari dua Amina
(We don kiwango)
Ya Rabbi itikia dua Amina
Ya Rabbi takabari dua Amina
Ya Rabbi itikia dua Amina

We kila siku me naomba dua
Irudi tena Yamoto Band
Na namuombea Harmonize 
Asimcopy diamond

Roma naona hajakoma
Naomba atekwe tena
Harmorapa azae na Wema
Na Manfongo abahatishe tena

Shoro Mwamba ache kuimba anitazamie mbwa nyumbani
Mondi amtibie Ruge yaishe wawe kama zamani
Rayvanny arudi Tip Top maana kule ndo nyumbani
Kiba ashinde Diamond karanga apige picha hadharani

Basi ya Rabbi takabari dua
Nakuomba itikia dua
Ya Rabbi takabari dua
Mi nakuomba itikia dua

Basi ya Rabbi takabari dua
Ah nakuomba itikia dua
Ya Rabbi takabari dua
Mi nakuomba itikia dua

Yani dua langu dura lipenye
Likafike mpaka temeke
Mkubwa Fella na kusemwa kote
Kukuza vipaji asichoke

Dua lisiishie hapo 
Mpaka kwa majizo lifike
Apeleke singeli internationally
Na sisi tuheshimike

Dua lifike kitandani alipo lala Mwarabu Fighter
Kila akivuta shuka ahisi Nasibu anamwita
Dua lipenye mtandaoni tupate kustajabika
Kwenye page ya mbosso Khani nione Rukia kachafuka

Dua kwa baba chong'e lisije likamkorofisha Baba
Aaah Dulla kaleta barua, aaah barua ikarudishwa
Dua kwa Dimpozi Omary afya izidi kujengeka
Aje atoe ngoma nyingine Baba, Steve Nyerere azidi kuuguka

Basi ya Rabbi takabari dua
Nakuomba itikia dua
Ya Rabbi takabari dua
Mi nakuomba itikia dua

Basi ya Rabbi takabari dua
Ah nakuomba itikia dua
Ya Rabbi takabari dua
Mi nakuomba itikia dua

Nani mwenye kamera anipige mafoto
Nauliza nani mwenye kamera achukue video
Wanangu nani mwenye kamera anipige mafoto
Wemakizube nani mwenye kamera achukue video

Waitee, nauliza nani nani(Humo humo) nani
We mtupisi nani nani(Nani)
We siso nani nani, nani nani
Kidete nani nani, nani nani

We jito la mtunga meno ya duka
Jito la mtunga meno ya duka
Analiona jito la mtunga meno ya duka
Mamamama we jito la mtunga meno ya duka

Wakiinama wanatamani maji ya kisima
Wakiinuka wanatetemeka mwili mzima
Wakiinama wanatamani maji ya kisima
Wakiinuka wanatetemeka mwili mzima

We tetema mwili mzima(Tetema) mwili mzima
We tetema mwili mzima(Tetema) mwili mzima
Jiachie mwili mzima(Tetema) mwili mzima
We jirushe mwili mzima(Tetema) mwili mzima

Basi twende niwaambie, niwaeleze
Wanangu niwaambie, niwaeleze
Haya maji ya kunywa tunauziwa 
Ya kwa dumu tunapewa bure 

Mamamamama wika

Haya maji ya kunywa tunauziwa 
Ya kwa dumu tunapewa bure 

Basi kila mtu acheze kivyake
Acheze kivyake 
Kila mtu aruke kivyake
Aruke kivyake 

Basi piga goma, weka goma
We Nasiso piga goma, weka goma
We mwanangu piga goma, weka goma

Watoto wa Magomeni Kagera 
Wananiitaga King Makabila

Watch Video

About Dua

Album : Dua (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 19 , 2019

More DULLA MAKABILA Lyrics

DULLA MAKABILA
DULLA MAKABILA
DULLA MAKABILA
DULLA MAKABILA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl