Majengeka Lyrics by CHEGE


 

Vile nakunyamazishaga
Pale napokufikishaga
Shika kwa dharau(hahaha)
Sio kichumba kingine, ni za kichaga

Heey hey hey hey

Usilete na maneno 
Yakachonge barabara
Eeeh kama tutakosa pesa tutalala
Eeeh eeh sina gari tutapanda daladala

Beiby ogopa vya watu
Kuna majini watu
Siku hizi wanaitwa manyaku

Asije ingia shetani 
Kwenye penzi letu
Akaja kusambaratisha 
Ule utamu wetu beiby

Funga milango na komeo
Cha kwangu sio banda la video
Wakikurubuni kaza moyo

Oooh ooh manjegeka, manjegeka
Eeeh eeh manjegeka, manjegeka
Usilete manjegeka, manjegeka
Eeeh eeeh manjegeka, manjegeka

Wanaona wivu wajiue
Sumu inauzwa kanunue
Maneno maneno wanitue
Huwaga yapo kwenye kanga

Penzi tufunge na kamba
Kuwa pete niwe chanda
Inama ni kiss kidogo tu
Nilegeze naona ushakuwa dede

Inama nishike mapepe
Vyote vyako sileti manjegeka
Kuku mayai nitage
Zama chini safisha piga deki

Ooh daddy hushindwi we

Vile nakunyamazishaga
Pale napokufikishaga
Mpaka kucha unang'ataga
Sio kichumba kingine, ni za kichaga

Huh, ukinigusaga
Kinyume nyume naendaga
Aaah we baba
Dollar dollar naimwaga
Aaah beiby...

Funga milango na komeo
Cha kwangu sio banda la video
Wakikurubuni kaza moyo

Oooh ooh manjegeka, manjegeka
Eeeh eeh manjegeka, manjegeka
Usilete manjegeka, manjegeka
Eeeh eeeh manjegeka, manjegeka

Eeeh eeeh..
Eeeh eeeh..


 

Watch Video

About Majengeka

Album : Manjegeka (Compilation)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 25 , 2019

More CHEGE Lyrics

CHEGE
CHEGE
CHEGE
CHEGE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl