BEKA IBROZAMA Changanya cover image

Changanya Lyrics

Changanya Lyrics by BEKA IBROZAMA


Keti nizunguke 
Kila kona ya dunia
Sitopata kama wewe

Ila mama alinambia
Dunia duara
Haina kona kona

Ukitaka nakiunywa(Sawa)
Na ukitaka kuoga(Sawa)
Na hata ukimwaga
Mimi ni maji yako

Mimi kwako ni njiwa
Ushanivunja mabawa
Hata ukinichinja
Nipe maamuzi yako

Nipe nipe, nipe nipe
Kwa raha na maumivu 
Nipe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
Unanifanya nichanganyikiwe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya

Umeniweka moyoni
Sioni sionekani
Umenificha

Kwani pesa kitu gani
Walishasema zamani
Kila kukicha

Wenye chuki chuki zao
Wapambane na hali zao

Nipe nipe, nipe nipe
Kwa raha na maumivu 
Nipe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
Unanifanya nichanganyikiwe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya

Watch Video

About Changanya

Album : Changanya (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 09 , 2019

More BEKA IBROZAMA Lyrics

BEKA IBROZAMA
BEKA IBROZAMA
BEKA IBROZAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl