Kidani Lyrics by BEKA IBROZAMA


Maneno sumu mpenzi we usiyasikie
Yakaharibu mapenzi yee, ya kwangu mie
Ukanihukumu kishenzi, mapenzi nichukie
Moyo ukaupa na ganzi, nikasimulie 

Uhuru na unyenyekevu uloonyesha
Penzi limebaki picha
Nikikumbuka kidonda natonesha
Kichwa macho yafikicha

Usiulizwe uko wapi
Kutwa kucha una mazonge
Kuvutana na mashati
Umeota na mapembe

Siku hizi hunitaki
Mi nafosi unipende
Kama penzi hisabati
Sina namba nikuhonge

Oooh kunipa penzi nigombanie
Kama kuku bandani
Oooh sa waniliza mie
We nawe wa kazi gani

Oooh sema nikupe nini
Ama nichonge kidani
Oooh tukaishi mwezini
Ili nipate amani

Kila nikichutama 
Natamani maji ya kisima
Nikisimama
Natetemeka mwili mzima

Liko wapi penzi
Tulilopanda leo tuje kuvuna
Ya manati
Nuru ya penzi letu ushazima

Uhuru na unyenyekevu uloonyesha
Penzi limebaki picha
Nikikumbuka kidonda natonesha
Kichwa macho yafikicha

Usiulizwe uko wapi
Kutwa kucha una mazonge
Kuvutana na mashati
Umeota na mapembe

Siku hizi hunitaki
Mi nafosi unipende
Kama penzi hisabati
Sina namba nikuhonge

Oooh kunipa penzi nigombanie
Kama kuku bandani
Oooh sa waniliza mie
We nawe wa kazi gani

Oooh sema nikupe nini
Ama nichonge kidani
Oooh tukaishi mwezini
Ili nipate amani

Kunipa penzi nigombanie
Kama kuku bandani
Sa waniliza mie
We nawe wa kazi gani

Sema nikupe nini
Ama nichonge kidani
Tukaishi mwezini
Ili nipate amani

Watch Video

About Kidani

Album : Kidani (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 22 , 2020

More BEKA IBROZAMA Lyrics

BEKA IBROZAMA
BEKA IBROZAMA
BEKA IBROZAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl