Nashangaa Lyrics by ASLAY


Nitunze kama moto na jicho lako maa 
Sitokufanya vii utamu ukitafuna
Iweke mdomoni kila ukisema
Ghetto liwe VIP lipambe kwa mishumaa

Ongeza upole wako bae mama
Usiniudhi usije niacha mazima mama
Mwenzako chizi wa mapenzi
Usinibughudhi ukaja kupata lawama bwana

Nipe nyama ya kasa
Ukikosa papa samaki nipatie ngisi
Saa ya nini limbwata
Na nishaapa wengine hawana nafasi

Umenisafisha nilipochafuka
Walahi sikuachi
Mi ni kuku wako nalitafika
Ya nini manati?

Hivi mpenzi umenipa nini? (Nashangaa)
Na kama dawa hio dawa gani? (Nashangaa)
Mbona kupenda kwangu sio kawaida (Nashangaa)
Unanipa furaha nasahau shida (Nashangaa)

Mwanamke sura nidhamu shule
Wasione naringa siringi bure
Mi mgonjwa matibabu bure
We ndo mganga wangu njoo tupige ndeni

Alama, alama
Chunga tusije vunja kitanda
Na dada, na banda
Mvishe suti Martin Kadinda 

Ongeza upole wako bae mama
Usiniudhi usije niacha mazima mama
Mwenzako chizi wa mapenzi
Usinibughudhi ukaja kupata lawama bwana

Umenisafisha nilipochafuka
Walahi sikuachi
Mi ni kuku wako nalitafika
Ya nini manati?

Hivi mpenzi umenipa nini? (Nashangaa)
Na kama dawa hio dawa gani? (Nashangaa)
Mbona kupenda kwangu sio kawaida (Nashangaa)
Unanipa furaha nasahau shida (Nashangaa)

Watch Video

About Nashangaa

Album : Nashangaa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Dingii Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 16 , 2021

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl