ASLAY Hutegeki cover image

Hutegeki Lyrics

Hutegeki Lyrics by ASLAY


Mmh sawa, mi sio hadhi yako
Ila moyo ndo umekufa kwako
Ni mbaya izo kauli zako
Eti mimi mtungi haruki jogoo

Unanichuna chuna tu vipesa vya mkaa
Nikishakupaga vipesa duu unanikataa
Unanichuna chuna tu vipesa vya mkaa
Nikishakupaga vipesa mmh, unanikataa

Nipende ata kwa kudanganya mama
Ukiniacha sitakuja kupenda tena
Si kwa manati, si kwa mkuki
Kwa bastola yeyee

Hautegeki (Wo wo wo wowo) hautegeki
Ata kwa sila gani mama, hautegeki
Oh napata taabu wewe, hautegeki

Ulinilaza gesti
Nikapiga simu sikupati
Baby mbona mkorofi
Na kwanini unafake promise, hautegeki

Na jinadi nikiwa na wenzangu
Kwamba we ndo mke wangu
Ila anajua Mungu
Shida nazopata

Kwako wewe wewe
Aki ya Mungu nadata
Kwako wewe wewe
Nishakupa unachotaka

Mara unanitukana
Ukiwa na wenzako unataka sifa yaani
Sababu kidogo unataka tugombane
Izo tabia za samahani honey tutakosana

Unanichuna chuna tu vi pesa vya mkaa
Nikashupaga pesa tu unanikataa
Unanichuna chuna tu vi pesa vya mkaa
Nikishakupaga vipesa mmh unanikataa

Nipende ata kwa kudanganya mama
Ukiniacha sitakuja kupenda tena
Si kwa manati, si kwa mkuki
Kwa bastola yeye

Hautegeki (Wo wo wo wowo)
Hautegeki
Ata kwa silaha gani mama
Hautegeki
Oh napata taabu wewe
Hautegeki

Mara kunitukana
Ukiwa na wenzako wataka sifa yaani
Sababu kidogo unataka tugombane
Izo tabia za samahani honey tutakosana

Watch Video

About Hutegeki

Album : Hutegeki (Single)
Release Year : 2017
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 03 , 2021

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl