YOUNG DEE Baba Anarejea cover image

Baba Anarejea Lyrics

Baba Anarejea Lyrics by YOUNG DEE


Tuliskia kodi kodi 
Watu wakaona kama utani
Wako walomwaga pochi
Wakihisi mambo ka ya zamani

Hamna Bongo bahati mbaya 
Siku hizi Bongo kama Yami
Walotamani niende Ulaya
Leo nawaalika nyumbani

Njoo uone alfajiri
Ya kuamkia mbugani
Tushangae shangee nyani
Lunch twende Zanzibari

Nashukuru hatupigani
Nchi bado ya kijani
Niwaambie tu wapinzani
CCM number one

Baba huyoo, anarejea
Baba huyoo, anarejea
Wako wapi? Wapinzani washapotea
Wako wapi? Mafisadi washapotea

Baba huyoo, anarejea
Baba huyoo, anarejea
Wako wapi? Wapinzani washapotea
Wako wapi? Mafisadi washapotea

Upinzani wote chali 
Eti wanalia tumewaonea
Kumbe nchi inaendelea
Na watanzania wanajionea

Sa hamna kuongea ongea 
Tuzingua anatokea
Ka unajua umekosea
Kazi huna ishapotea

Ni bonge la sherehe, nderemo na vifijo
Hata bila ya campaign tungeshinda kwa vishindo
Piga vigelegele leo ni siku ya wazalendo
CCM mbele kwa mbele na hakuna kuacha pengo

Baba huyoo, anarejea
Baba huyoo, anarejea
Wako wapi? Wapinzani washapotea
Wako wapi? Mafisadi washapotea

Baba huyoo, anarejea
Baba huyoo, anarejea
Wako wapi? Wapinzani washapotea
Wako wapi? Mafisadi washapotea

Baba tubebe, we tubebe
Baba tubebe, we tubebe
Baba tubebe, we tubebe
Baba tubebe, we tubebe

Haha tuliwaambia hapa Kazi tu 

Baba tubebe, we tubebe
Baba tubebe, we tubebe
Baba tubebe, we tubebe
Baba tubebe, we tubebe

Baba huyoo, anarejea
Baba huyoo, anarejea
Wako wapi? Wapinzani washapotea
Wako wapi? Mafisadi washapotea

Baba huyoo, anarejea
Baba huyoo, anarejea
Wako wapi? Wapinzani washapotea
Wako wapi? Mafisadi washapotea

Watch Video

About Baba Anarejea

Album : Baba Anarejea (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 12 , 2020

More YOUNG DEE Lyrics

YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl