Mbutika Lyrics by YOUNG DEE


Wakati mnapendana ilikuwa kale
Ilikuwa safi mkiongozana mmegonga sare
Sa ivi noma mnadundana hadi kwenye starehe
Mwisho wa siku wasio na kitu ndo watasema
Nisamehee

Macho kwa pesa tu moyo una ganzi
Atakupa presha uje kufa kidwanzi
Huna pesa, huna hadhi
Achana na mapenzi ebu tafuta kazi

Chako ni chenu ila chake ni chake
Sio kwake, sio kwenu hapo kwenu ni kwake
Ati una bwabo la pena
Wenzake wanaomwita shemu sidhani mwanake 

Wewe unajiona umefika
Yeye anakuona mbutika
Wewe unajiona umefika
Yeye anakuona mbutika

Mbutika kee mbutika
Mbutika, mbutika 
Mbutika kee mbutika
Mbutika, mbutika 

Mbutika eeh, mbutika, mbutika
Mbutika eeh, mbutika, mbutika
Mbutika eeh, mbutika, mbutika
Mbutika eeh, mbutika, mbutika

Hakuna hakuna mjanja wa mapenzi
Haruna, Fatuma huyo humuwezi
Sababu pesa huna ndio maana anakuona ndezi
Bora kuchina ukiskia siku hizi uko na deni

Acha ujinga bro rudi nyumbani
Usiwe ka Mbutika ka yule wa Gigy Money
Ka amekushinda tabia usipanic
Chunga asije kupa kesi ya mauaji

Kutwa unalia umekuwa vipi
Naskia haujakula so imepita wiki
Stress stress unakuwa chizi
Ushaongea kila kitu utampa nini?

Najua unajiona umefika
Mwenzio anakuona mbutika
Visa tu kila kukicha
Ashapiga simu akute home umepika bro

Wewe unajiona umefika
Yeye anakuona mbutika
Wewe unajiona umefika
Yeye anakuona mbutika

Mbutika kee mbutika
Mbutika, mbutika 
Mbutika kee mbutika
Mbutika, mbutika 

Mbutika eeh, mbutika, mbutika
Mbutika eeh, mbutika, mbutika
Mbutika eeh, mbutika, mbutika
Mbutika eeh, mbutika, mbutika

(It's S2kizzy beiby)

Watch Video

About Mbutika

Album : Daresalema (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 11 , 2020

More lyrics from Daresalama (EP) album

More YOUNG DEE Lyrics

YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl