Kiloki(Boom Shakalla) Lyrics by VENRICK


Uwachome na kingoto, Maddox aah
Harrycraze, Venrick aah
34 Gang, DJ Lytaa

(Jessy on this)

Aii vuta ngwai, vile una mbiro 
Unapenda tu matoki, vile una shiro
Nare na kitire nitawasha tu kiloki
Una shy hapa nitakupiga shoti 

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki 

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki

Bang bang nitaku Rambo Kanambo
Hii ni moto utaisikilia kwa tumbo
Boy wako nitamkula makumbo
Ngeus wenzako watafumbua hili fumbo

Mi I pull up nikisikia ilikam
Lakini siwezi kam na bado kunajam
Mogoka ama jaba bora ikam na kagum
Na nikishika manze nipe Jamaican ram

Nitakupiga randa, nikupige shada 
Na mawada zimekam zimeriev
Vile zimenyanya niko fiti
Bondi na kishot na kimisi

Kova ako area anawapea ma beating
Nimekula tu vijiti za Ngomongo
Miti zimenice hebu uliza tu Odongo
Na mapom pom na matom pom, aii aii gethukia tobo

Boom shakala utaisikilia kwa tumbo
Ngeus wako watafumbua hili fumbo
Boom shakala utaisikilia kwa tumbo
Ngeus wenzako watafumbua hili fumbo

Boom shakala(Boom), ala
Boom shakala(Boom), ala
Boom shakala(Boom), ala
Fumbo, fumbua

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki 

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki 

(Si unajua tu ni nani)

Looku nimepiga imeweza
Naskia kupiga picha nichafue meza
Si nimewajibika kwa hiyo sekta
Nicheze na Vera Sidika
Sitaki kina Lilian wanachafua jina
Kila place nikipita Craza we are sorry
Kuwakunywa tu manze hii ni ngori
Na kama Gabu, mi staki mastory

Boom shakala utaisikilia kwa tumbo
Ngeus wako watafumbua hili fumbo
Boom shakala utaisikilia kwa tumbo
Ngeus wenzako watafumbua hili fumbo

Boom shakala(Boom), ala
Boom shakala(Boom), ala
Boom shakala(Boom), ala
Fumbo, fumbua

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki 

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki 

Ngeus ako fine, ni peng ting
Nataka akuwe mine, akuwe mi next thing
Sura tabia ni mwoga kwa njia
Akipita mtaa jo mafisi zinalia

Mahater wanachachisha 
Wanadai huyu ni dem wa mashisha
Tukiwakilisha wanachunhgulia dirisha

Boom shakala utaisikilia kwa tumbo
Ngeus wako watafumbua hili fumbo
Boom shakala utaisikilia kwa tumbo
Ngeus wenzako watafumbua hili fumbo

Boom shakala(Boom), ala
Boom shakala(Boom), ala
Boom shakala(Boom), ala
Fumbo, fumbua

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki 

Aaah! Nimekunoki aah
Cheki nitakupiga tu kigoti
Aii vile unachachisha tu kwa moti
Vile unachachisha si nitakupiga tu kipoki 

Watch Video

About Kiloki(Boom Shakalla)

Album : Kiloki(Boom Shakalla) (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 28 , 2019

More VENRICK Lyrics

VENRICK

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl