Show Show Lyrics by MALKIA KAREN


Aah aah, utafurahi show, utafurahi show
Oooh ooh, utafurahi show, utafurahi show

Leta debe leta vanga katerina njoo njoo njoo
Ngoma likikosa utaelewa show show
Mswahili mwenzio tena ulijino
Eti shepu ngongingo mi ndo bingwa vigodoro

Tena queen wa upana sio samaki samaki
Swinging yangu bichi kokokoko, nikisikia unaninanga 
Naanzisha varangati unyonge kwangu ni mwiko koko

Hapa gusa una say, yaani sio lege lege
Kisa nikupende na we ndo ujifanye Uchebe

Kosa sio kosa nikinuna, utafurahi show
Nitake chips ulete nguna, utafurahi show
Na yakutolea hujatuma, utafurahi show
Nikikuchuna sina huruma, utafurahi show

Ukikuta wanangu wa Temeke, utafurahi show
Oya wahuni wa Tandale, utafurahi show
Mabingwa mpaka Manzese, utafurahi show
Ooooh ooh, utafurahi show

Mwenzenu maneno yameguza nikakuwa
Hata useme leo kesho kosa narudia
Ni mzinga wa Konyagi haunitishi na hizo bia
Kichwa ni kibwenzi sio miwigi kushonea

Ayee ayee ayee mizuka imepanda
Mtafute mumeo kabla kiza hakijatanda
Ayee ayee ayee Bern piga kinanda
Waamshe waamshe walo sanda wakalala

Hapa gusa una say, yaani sio lege lege
Kisa nikupende na we ndo ujifanye Uchebe

Kosa sio kosa nikinuna, utafurahi show
Nitake chips ulete nguna, utafurahi show
Na yakutolea hujatuma, utafurahi show
Nikikuchuna sina huruma, utafurahi show

Ukikuta wanangu wa Temeke, utafurahi show
Oya wahuni wa Tandale, utafurahi show
Mabingwa mpaka Manzese, utafurahi show
Ooooh ooh, utafurahi show

Watch Video

About Show Show

Album : Show Show (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 07 , 2021

More MALKIA KAREN Lyrics

MALKIA KAREN
MALKIA KAREN
MALKIA KAREN
MALKIA KAREN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl