
Mama Samia Lyrics
Mama Samia Lyrics by IBRAAH
Wanangu mmemuona mama huyo anameremeta
Mama Samia mama huyo anameremeta ayee
Mmemuona mama huyo anameremeta
Mama Samia mama huyo anameremeta ayee
Kama unampenda piga makofi mara tatu askie
Bado tunarudia piga makofi tumsifie mama samia huyo
Ni wewe Mama Samia kweli penye njia pana njia
Tunakupenda wote Watanzania, Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mama Samia wee....
Wanangu mmemuona mama huyo anameremeta
Mama Samia mama huyo anameremeta ayee
Mmemuona mama huyo anameremeta
Mama Samia mama huyo anameremeta ayee
Watch Video
About Mama Samia
More IBRAAH Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl