RICH MAVOKO Hongera cover image

Hongera Lyrics

Hongera Lyrics by RICH MAVOKO


Yeyeee baby.. baby
 Yeaaahhh…

Niliambiwa mapenzi upofu
Katukatu nkawakatalia
Kwako usikue na hofu
Kabisa nikaweka macho ya bandia
Kumbe na chunga mzinga wa nyuki
Bila kuhofia kuumia
Hadi kwa rafiki nikajenga chuki
Ili kifua    kukukingia
Ukanipa tunda kinzani
Bila kujua lina miba
Kwa kusahau tena sidhani
Nikaweka matanga bila msibaa
Nilijitahidii kuyaficha mengi wasione
Macho shahidi
Kinachonifanya nisonone

Uliponilaghai ni mwanya
Kumbe ni pengo na unajua
Ikanifanya nikupende sana
Mwishoni kichwa ukasumbuaa
Kwa yote uliyonitenda (Hongera)
Uliniumiza mie
Kwa vingi ulivyo vifanya (Hongera)
Acha ukweli nikwambie
Kwa yote uliyonitenda (Hongera)
Uliniumiza mie
Kwa vingi ulivyo vifanya (Hongera)
Acha ukweli nikwambie

Ulidhoofisha kauli yangu
Kwa kutumia ndimi zakoo
Ikanilazimu nafsi yangu
Kuchukia uwepo wako
Nyingi ahadi ziliweka kutu
Zakusubili ubadilikee
Kumbe cha mtu huliwa na mtu
Ikanifanya nifadhahikee

Ulikata kwa nyembe
Nyuzi nyembamba ya furaha yangu    
Ukanifanya nisipende
Ule udhalili na utu wangu
Nilijitahidii Kuyaficha mengi wasione
Macho shahidi
Kinachonifanya nisonone
Uliponilaghai ni mwanya
Kumbe ni pengo na unajua
Ikanifanya nikupende sana
Mwishoni kichwa ukasumbuaa

Kwa yote uliyonitenda (Hongera)
Uliniumiza mie
Kwa vingi ulivyo vifanya (Hongera)
Acha ukweli nikwambie
Kwa yote uliyonitenda (Hongera)
Uliniumiza mie
Kwa vingi ulivyo vifanya (Hongera)
Acha ukweli nikwambie

Oooohohh... Kwa yote ulionitenda
Uuuuuuh.... hongera...

 

Watch Video

About Hongera

Album : Hongera (Single)
Release Year : 2018
Added By :
Published : Sep 20 , 2018

More RICH MAVOKO Lyrics

RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl