HANSTONE Kiberenge  cover image

Kiberenge Lyrics

Kiberenge Lyrics by HANSTONE


Shati mbuzi kagoma, kampeleka gereji
Kidonda cha kushona, amekifungia na bendeji
Ati nyama choma anashushia na fegi
Kama naiona nikikunjuka kwa bedi

Ka puturiko, ko ko
Ni mafuriko po po
Mwendo wa habari di jo jo
Uno la Mwasi Kitoko

Biringita nione unavyochezaga (Chezaga)
Kamwagika mtoto na mama kalimwaga (Kalimwaga)

Shika ukuta huo
Iteleze weka mafuta iyo (Aiyo aiyo)
Kibukta huyo 
Mwenye dera kashamsuta huyo (Aiyo aiyo)

Kiberenge hicho, kiberenge hicho
Kiberenge hicho, kiberenge hicho
Kiberenge hicho, kiberenge hicho
Kiberenge hicho, kiberenge hicho

Jasho la kuku halichurikizi
Mtoto mikiki mikiki
Mabutu si suki si suki
Natoka mkuku mwendo kiminuki

Sa anataka nimbebe kwenye mgongo
Nishushe moro kwetu matombo
Biringita nione unavyochezaga
Kamwagika mtoto na mama kalimwaga

Shika ukuta huo
Iteleze weka mafuta iyo (Aiyo aiyo)
Kibukta huyo 
Mwenye dera kashamsuta huyo (Aiyo aiyo)

Kiberenge hicho, kiberenge hicho
Kiberenge hicho, kiberenge hicho
Kiberenge hicho, kiberenge hicho
Kiberenge hicho, kiberenge hicho

Imesimama dede, moja hio
Yaani dede hataki do (Wima)
Imesimama dede (Wima) Moja hio (Wima)
Yaani dede (Wima) Hataki do (Wima)

Biringita nione unavyochezaga
Kamwagika mtoto na mama kalimwaga

Watch Video

About Kiberenge

Album : Amaizing (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 08 , 2021

More lyrics from Amaizing album

More HANSTONE Lyrics

HANSTONE
HANSTONE
HANSTONE
HANSTONE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl