FID Q Imeisha (Outro) cover image

Imeisha (Outro) Lyrics

Imeisha (Outro) Lyrics by FID Q


We chali unaonekana una akili nyingi
Una miaka mingapi? "Mitano"
Enhe malizia huu msemo, mkono mtupu? "Haulambwi"
Safi mbili mara tano inakuwa ngapi? "Kumi"
Baba wa taifa ni nani? "Nyerere"
Na kama weupe ungekuwa mali?
"Ubuyu usingepakwa rangi"
Kumi mara kumi ngapi? "Mia"
Ukilia chakula ndani ya chungu itakuwaje?
"Harusi yako itakuwa na mvua"

Unachokifanya wanafanya watu wengi
Lakini wewe unaonekana uko bora kuliko wao
Hii inakuwa aje? "Inakuwa imeisha hivyo"

(Wanene)

Wanaonipigia niwape njia
Ndio wale walioamini sitoboi, mmepotea
Walioniona mlala hoi wakani-avoid
Kumbe sikukosea 
Na wote wanaoniskia wanenjoy

Na siku hizi nimeendelea hadi mama ametulia
Niko so she is like boy boy 
Endeleza mishe mishe tengeneza doh
Wezesha wasiojiweza ukitaka uwalishe 
Wasilale fo fo

Zinduka chupa shuka kuwa bize usijishow show
Tafuta hadi wenye husta usijifiche
Wanarosto  hao sipiti chocho zao
Wanavinyongo kwa nini mi ndo moto wao
Nikiwapa mchongo naona ka niko na shobo
Na nikitema nondo, nasema ana usonjo mwanao

Wabongo na wako na shombo zao na mauongo
Longo kaacha mkongo na bao 
Sijui kasongo, kigongwa ka mombo wa kimombo
Waacha hongo waacha msondo, wacha jongo

And I'm the illest negro alive
Watch me prove it
Jitose chugu la loss au ku coach mafundi
Boss na ujuzi so choose mapozi na uzushi
Ku-force makuzi haitoshi ka una jozi lukuki

I rap with a cause, rebel by birth Rambo
You can't step on my shoes I'm Airforce babu
Wanaotest me wapuuzi wapokezi tush wangu 
Siwezi mess na wanafunzi ambao wanashare ujuzi wangu

Wharap star, you know who you are
Wengine watakujudge unavyovaa
Mamangu huziba mdomo ili niepuke balaa
Ye mamake hamkatazi, coz she's the porn star

Aii imeisha iyoo, imeisha iyoo
Imeisha iyoo
Aii imeisha iyoo, imeisha iyoo

[Lordeyez]
I'm the last man standing kutoka kitaa changu
Last man standing kutoka kwa shule yangu
Natoka skuli nilikuwa mcat sikuwa mrat
Nice slice sleki ties sling

Ndo huyu nimeunda kwa mtaa
Walioona siendi mwenye nyumba wananishangaa
Afro misuko, kipara umetoga?
Enzi hizo ukisuka eti analiwa mboga

Jamani nimetoka mbali kulikuwaga hamna uboga
Ilikuwa kama ndoto na leo ndo nayaishi
Nikitazama nyuma nimepita kibishi bishi
Tumepoteza wanetu nao walifaa waishi

Mipango ya Mungu Baba haitofaa kuleta ubishi
Wapumzike kwa amani wanao bado tunaishi
Hamna uhakika wa kesho ila bado tunaishi
Tunahangaika sana hakuna asiye na mwalimu
Ninataka kubeba basi niyavae majukumu
Nguvu tunayo, nia tunayo
Basi uhakika bendera hio na ipepee

History tunazo, idea tunazo
Far bidi na Isaack hilo neno lipepee
Muipeperushe duniani je unajua jeje
Nalisha neno toka Africa, hamnaga siri

Hamnaga siri naweza fanana na hasidi
Nalisha neno toka jungle 
Siku hizi naona mipango
Asimkufuru Mungu baadaye akazikwa kwa malengo

Aii imeisha iyoo, imeisha iyoo
Imeisha iyoo
Aii imeisha iyoo, imeisha iyoo

Imeisha iyoo, imeisha iyoo

Watch Video

About Imeisha (Outro)

Album : Neno (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 18 , 2020

More FID Q Lyrics

FID Q
FID Q
FID Q

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl