Boya Lyrics by HANSTONE


Ulinifanya kichwa nazi boga
Akili ukaichanganya
Mapenzi niliyaweka wazi uroda
Ukaniona sina maana

Na ukanifanya ninyenyekee mama
Ati kufa tufe wote
Mapenzi sio rob ati nijaze kibaba
Nikianguka niokote

Kwangu ikawa mapenzi upofu
Na kwako sioni
Usikubaliki mithili ya jokofu
Nitalala na nani mama?

Tafadhali naomba, sitaki niache
Hata ukiniona wapi tema mate

Maana penzi langu lote nilikupa mi fire
Ila bado ukaniona mi, boya
Kama mtoto kanidanganya, boya
Zangu ndoto ukanizizima, boya

Kwa bedi sitoi boko umenijaa kichina, fire
Ati mtoko tutoke dinner, boya
Kumbe urembo si upake hinna, boya
Kwa wiko fimbo mzizi ndo shina, boya

Mmmh tiba ya tiba ya mapenzi sio hosipitali
Na toka lini kahawa ukaona imewekwa sukari
Ulinichanganya akili yangu ukaivuruga
Eti sina maana, toka mbele yangu unapoteza muda

Uliapa nitakufa nawe
Mpaka mwisho nitazikwa nawe
Ukanifanya mimi nipagawe
Mama mama mama mama

Ati saa hivi imebaki ndoto ndoto
Kubembelezwa ka katoto toto
Kwenye baridi nikupe joto
Utahadidhiwa

Saa hivi penzi latokota, toko toko
Usukani kulia au kushoto
Mambo ya Pwani ni kanga moto
Naogelea

Tafadhali naomba, sitaki niache
Hata ukiniona wapi tema mate

Maana penzi langu lote nilikupa mi fire
Ila bado ukaniona mi, boya
Kama mtoto kanidanganya, boya
Zangu ndoto ukanizizima, boya

Kwa bedi sitoi boko umenijaa kichina, fire
Ati mtoko tutoke dinner, boya
Kumbe urembo si upake hinna, boya
Kwa wiko fimbo mzizi ndo shina, boya

Watch Video

About Boya

Album : Amaizing (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 08 , 2021

More lyrics from Amaizing album

More HANSTONE Lyrics

HANSTONE
HANSTONE
HANSTONE
HANSTONE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl