Weka Mbali Na Watoto Lyrics by ABBAH


Weka mbali na watoto
Mbona uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto
Mbona uweke mbali na wato

Marapper siku hizi hawajishabikii
Wanashabikia mimi na mimi siwazimii
Wanatake time na vyote mama flow
Wala zwepe  mama zeze na matoes

Ni mapepe ni mateke na mados
Niko na makeke na maseke ya dos
Hujui mimi ndo oversize rapper
Oversize flow mnaiomba kwa ibada
Ma rapper mi nawanywa over chai sasa
Nikiwa nabaki mdomo over chai jaba

Aah zaidi yao, wacheze na watoto mi sio size yao
Aibu yao, nishaua rapper wachukue maiti yao
Na wangekuwa mimi wangesumbua 
Ila ningekuwa wao hakika ningezingua

Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato

Way back, naskia umeanza rap way back
We ni mwanga na unadai verse zangu ni dark
So naskia unaenda na time, mi hufanyi crime
Sina swaga unatangaza ni whack

Nigga unaanza kudab wewe mi sijui ila tajiri
Unaamini kumbavu wewe
We si mkali alafu unamaliza soli
Wakati kwenda popote mi naita chap mwewe

Zamani nilikuwa rapper hardcore
Siku hizi napiga bars hadi beat ya kidalipo
Napiga show kali na so na make doh
Nakalisha paka bolingo wanaomba hadi po

Mi sio rapper wa misingi nataka shilingi
Nikipiga ngoma moko nimesepa na kilingi
Niache utoto mwingi nimeshakuwa dingi
Kila mtu anataka tuzo saivi nguzo ni upimbi

Danga marapper nawakata kata pila
Saka unachotaka na unapopata wataanza hila
Ila Mungu ndo anabless nigga, yes nigga
So chunga level zangu usizitest nigga

Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato

Weka mbali na toto sio makuzi
Maana dude ni hatari zaidi ya -- movie
Wanachanika nawashow nakaa nyuzi
Nawaskia wakilia nisamehe ka mbuzi

Ushajaribu kuingia mitaa bana
Pita kila nyumba kuna rapper anachana
Wanaamini watatoka wakifail wanabana
Mziki umeajiri wengi mpaka fania inafanya

Si uwongo hii ni serious men
Siku hizi wadau wanataka business men
Hiki chama chama waki mtachezea sana moto
Hili dude hatari uweke mbali na watoto

Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato
Weka mbali na watoto, bora uweke mbali na wato

Watch Video

About Weka Mbali Na Watoto

Album : The Evolution (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Abbah Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 26 , 2021

More lyrics from The Evolution album

More ABBAH Lyrics

ABBAH
ABBAH
ABBAH
ABBAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl