My Gash Lyrics by ABBAH


Uuuuh....yeah 
Aiyayayayaya 
Iye iye aah mmmh
(Abbah)

Asa mbona na simu umepokea
Jina lile lile la jana
We si ulisema umeacha 
Umeacha visa

Hasa mbona nyie bado mnaongea
Mnaendekeza mjana
We si ulisema umeacha
Umeacha visa

Si jana nilikuona mchana
Sitaki kuendelea naye 
Na tena nimemwambia 
Baba karudi kuwa naye

Ooooh hata kwangu niliachana
Yaishe mazoea naye
Na tena nimemwambia 
Mama karudi kwa wanawe

Naapa sifanyi tena vibaya
Nisije kuumiza
Nishajua una moyo sio jiwe
Na sitaki kukuliza

Yaani hapa ukinifanya vibaya
Utaniumiza 
Ujue nina moyo sio jiwe
Ukanitenda tena

Aaah oh my gash utaniua
Oh my gash utanitoa roho
Oh my gash utaniua
Oh my gash utanitoa roho

Nia ya mi si mikunjo kubebwa bebwa
Na hakuna kuniweza u mbali wewe
Kama chatu na ndeza

Nilimiss vile unavyodeka deka
Na kwa bed unavyocheza
Ooh yeah ni wewe 
Kama papa umenimeza

Basi punguza mitoko (Mitoko)
Mi mtoto (Mtoto)
Kwako mi ndo ndoto (ndoto)
Nahitaji matunzo

Nishapunguza mitoko (Mitoko)
We mtoto (Mtoto)
Ah we ndoto ( wa ndoto)
Unahitaji matunzo

Naapa sifanyi tena vibaya
Nisije kuumiza
Nishajua una moyo sio jiwe
Na sitaki kukuliza

Yaani hapa ukinifanya vibaya
Utaniumiza 
Ujue nina moyo sio jiwe
Ukanitenda tena

Aaah oh my gash utaniua
Oh my gash utanitoa roho
Oh my gash utaniua
Oh my gash utanitoa roho

Oh my gash, oh my yeah
Oh my gash utaniua we 
Oh my gash utanitoa roho
Oh my gash utaniua
Oh my gash utanitoa roho

Baba utanitoa roho
Aah wewe utaniua 
Baba utanitoa roho
(The Mix Killer)
Abbah!

Watch Video

About My Gash

Album : The Evolution (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Abbah Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 26 , 2021

More lyrics from The Evolution album

More ABBAH Lyrics

ABBAH
ABBAH
ABBAH
ABBAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl