Y PRINCE Genge cover image

Genge Lyrics

Genge Lyrics by Y PRINCE


Genge genge, mi nalifeel si genge
Genge genge, kwa ndugu na jirani
Genge genge, nalifeel si genge
Genge genge, unaogopa jamaaa

Kwachu kwachu, pachu pachu
Kila siku badu badu
Umoja wa genge ni kwangu

Peku peku tena bila viatu 
Na kibwebwe kiunoni
Umoja wa genge ni kwangu

Nilijua ni wenzangu
Kumbe ni adui zangu
Walimwengu hulka haina dawa

Kutwa maneno mengi gengeni
Stori nyingi jamani
Kulipa pesa foleni 
Ah lipeni madeni

Genge genge, mi nalifeel si genge
Genge genge, kwa ndugu na jirani
Genge genge, nalifeel si genge
Genge genge, unaogopa jamaa

Mbona wanauliza la
Y naringia nini
Wakataka ukate pole china li ndani

Kukopa vibiringanya
Wale wanazuru nini
Ila maneno maneno

Wanadamu wamezoea
Hata ufanya nini, hutoa ubaya
Ah hapa gengeni kutwa kujikalia
Kwa stori za ngoma vijora ni haswa

Genge genge, mi nalifeel si genge
Genge genge, kwa ndugu na jirani
Genge genge, nalifeel si genge
Genge genge, unaogopa jamaaa

Ah mtaa wa tatu amechambwa mtu (Amechambwa)
Mtaa wa tatu amechambwa mtu
Ah mtaa wa pili amechambwa mtu (Amechambwa)
Mtaa wa pili amechambwa mtu

Ah mtaa wa kwanza amepiwa mtu (Amepigwa)
Mtaa wa kwanza amepigwa mtu

Watch Video

About Genge

Album : Genge (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 05 , 2020

More Y PRINCE Lyrics

Y PRINCE
Y PRINCE
Y PRINCE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl