Digiri Lyrics by WILLY PAUL


mbinguni hakuna digiri
Mungu wangu hana digiri
Malaika hawana digiri
Adam na Eve hawakuwa na digiri
Digiri, digiri, digirii, digiriii
Some of you call me Willy Paul, Willy pozee
Some of you call me just Pozee
Heaven material

Leo nina mambo
Nitatoboa mambo
Nataka sema mambo mmh kama Rambo
Za Rambo kanambo
Hapo kuna mambo mambo mambo
Ukininyima kirahisi hiyo siyo mambo
Bali ni jambo haitaleta mambo
Tuonyeshane upendo
Si Mungu alisema tuwe na upendo
Sio vita kama mama wa kambo
Wengine wajidai eti wamesoma sana
Hawaezishirikiana na watu hawajasoma
Wacha nikushow mbinguni hakuna shule
Sote tuko equal, hiyo si uwongo
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji awards kuingia heaven
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji digiri kuingia heaven
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji awards kuingia heaven
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji digiri kuingia heaven

mbinguni hakuna digiri
Mungu wangu hana digiri
Malaika hawana digiri
Adam na Eve hawakuwa na digiri
Digiri, digiri, digiriii, digirii
Digiri, digiri, digiriii, digirii

Mmmh Njeri, usimlenge Omondi
Mmmh Njeri, usimlenge
Unawezamlenga kumbe unayemlenga
Ndiye yule mmoja umekuwa ukimsaka
Na itakuwa ni mambo na mambo ni mambo
Alisema atakuja in so many forms
Hauhitaji kujaza any forms
Ukitenda mema yaah
Atakuchukua
Bila ye kuna mambo
Ukiwa na jambo we mtafute
Atakupea mambo
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji awards kuingia heaven
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji digiri kuingia heaven
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji awards kuingia heaven
Wacha nikushow siri moja
Huhitaji digiri kuingia heaven

mbinguni hakuna digiri
Mungu wangu hana digiri
Malaika hawana digiri
Adam na Eve hawakuwa na digiri
Digiri, digiri, digiriii, digirii
Digiri, digiri, digiriii, digirii

Huuh huuh huuuh
Huuuh huuh
Huuh huuh huuh
Huuuh
Huuuh
Huuuh
Huuuh
mbinguni hakuna digiri
Mungu wangu hana digiri
Malaika hawana digiri
Adam na Eve hawakuwa na digiri
Digiri, digiri, digiriii, digirii
Digiri, digiri, digiriii, digirii
mbinguni hakuna

Watch Video

About Digiri

Album : Digiri (Single)
Release Year : 2017
Copyright : ©2017
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 12 , 2020

More WILLY PAUL Lyrics

WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl