...

Mii Lyrics by WHOZU


Limewaka penzi letu mi amor

Mpaka sasa nimeshinda shindano

Sinyorita langu huba te amor

Shata shata nimefika kikomo ooohh

Ooh halleluyah, nampenda huyuuu

Napata furaha, wakwangu huyuuu

Ooh halleluyah, nampenda huyuuu

Napata furaha, wakwangu huyuuu

Roho yangu mii mii

Tamu yangu mii mii

Roho yangu mii mii

Tamu yangu mii mii

Roho yangu mii mii

Tamu yangu mii mii

Si unajua raha ya nyama kutafuna

Sio kuonja na kutema

Usirunusu moyo kuuchoma chomaa

Wakaja pata la kusema

Ooh baby, ooh baby ukinimiss niite me

Niite me, niite me

Me nadekeza sikaripiii

Ooh halleluyah, nampenda huyuuu

Napata furaha, wakwangu huyuuu

Ooh halleluyah, nampenda huyuuu

Napata furaha, wakwangu huyuuu

Roho yangu mii mii

Tamu yangu mii mii

Roho yangu mii mii

Tamu yangu mii mii

Roho yangu mii mii

Tamu yangu mii mii

Ooh halleluyah, nampenda huyuuu

Napata furaha, wakwangu huyuuu

Watch Video

About Mii

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright :
Added By : Farida
Published : Aug 10 , 2024

More WHOZU Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl