
Warira Lyrics
Warira Lyrics by BEN POL
Tatizo kina lake
Haliln’ kanki mdomoni
Taswira ya sura yake
Hain’toki kichwani
Mapenzi na raha zake
Nazi miss jamani
Matashititi mahaba yake
Aninyila raha ndotoni
Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Funika kombe mwana haramu apite
Kosa gani kubwa lisisameheke
Niambie basi japo nijirekebishe
Hii hali inatesa nitakuja nife
Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Watch Video
About Warira
More BEN POL Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl