Waiter Lyrics by WAKALI WAO


Ah hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Hii stori inanibamba, na pia inaniguza
Leo ni kusere pamoja na wasupa 
Tuko ndani ya bukla tumeshika machupa
Speed ndogo ndogo hakuna cha pupa

So, ita waiter ekelea makali mezani
Wakali mafathe hucheza magizani
Makali ma Barley najua hawawezani
Machali, machile tuwapeleke kejani

Ah, hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Kuzitoka kubanjuka, jiachilie mabega
Kama tu wahenga, kanashikanga kapienga
Mchuma ndani kwa toja nimejipin ndeng'a
Ngeus huku akinena ni marungu kumzeka
Nipige ka firimbi, nipulize ka kipenga
Mashot, nizisend, areceive kama Sender
Piga dry chok, iko form ukichomwa
Morio ngori tuko chuom, tenje anatokwa

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Nishaspoti kadem niko isaa ya kushuka
Kajing nishatema niko isaa ya kutuna
Cheki tu ni late, haraka si hatuna
Walenje tu kwa pori ninaskia inakuna
Mi nakata maji, hadi isinichome liver
Na tire nitawasha, nitachoma nitaiva
Alafu late night, ni kuteka tu madiva
Kwanza ni ka nyako, mahaga kameiva

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili  weka yaani adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Watch Video

About Waiter

Album : Waiter (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Wakali Wao.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 10 , 2019

More WAKALI WAO Lyrics

WAKALI WAO
WAKALI WAO
WAKALI WAO
WAKALI WAO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl