Zimepanda Lyrics by VDJ JONES


Wakali wao yaoyao, ey ey ey ey
C unajua ni genje ni bwaya, ahaha ah wah do dem
Mavo on the beat and it's bad to be badder
Psycho, Mbogi Genje, Iano Ranking under Mickey
Na Calif (Mavo on the Beat)

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti aah

Guzling tispo ni ya kibla
Ditni dibla ile genje
Inigri mi hurieng ka dishokdem
Mambeko zinamuok ni mogatha

Kanairo govana ni mjamo
Lagunya skomo ni makibre
Inademia nimemuok ka Palmer
Nikipaa kila yout ni dangulo

Kwa ngife baroda imemuokre
Ma TBN kuwabambua mashashken
Kamili akimsnadi poacher nyagu
Militan huwa riau tu frontline

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti aah

After umenimochoa itabaki nimezitoka
Kileo ujikojolee si nitakuokota
Napata msupa kwa counter tu Ma-quarter 
Ako na jegi 20 litres si ni kama naota

Kumsuka si ni kama na-order
Kuniagizia nikajipata tu matora
Mbulu biggy ameseti movie ya horror
Ameseti mkono kwenye bakora

Utadhani anadrive mkono ya left kwa gear
Ashaniita dear amenitolea G Bag
Fine figure ananivutia
Mtoto akililia wembe unampatia

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti aah

Na kwa kichwa ninaburn mambichwa
Nasunda kwa kichwa nadara nashika aah
Nawacheza kama bano bano
Niko tu za lando lando

Anameza kama tembe, kama tembe
Ameiva na - jishikia sembe
Niko rada uko manyu niko lembe
Ni Konyagi aah acha nikembe
Ninyonye ka maembe

Ng'ang'o ng'ang'o 
Na kangwai ngwai ng'ang'o
Ng'ang'o ng'ang'o 
Na kangwai ngwai ng'ang'o

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti aah

Piga taxibla lakini daily namochoka
Calif vile nadrip kama pipe imetoboka
Mistari iko kwa lips utadhani mogoka
Na huwezi nipata trip Sunday Monday niko mboka

Ka daily niko hustle najaribu kuomoka
Ndio doba yangu ichune shinda sound ya itoka
Mistari kama rive shortgun mi bazuka
Ni mbali mi naenda oh it's time nimetoka

Ju nimechoka toka mboka
Niko handas ju ya mogoka
Walidhani hatutaomoka 
Luku safi kata shoka

Pesa ziko kwa kibenje
Lugha safi cheki senje
Ka si ganji kata tenje
Goodbye huwezi nipata

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti

Zimepanda zimeripoti
Niko jaba rira na njoti
Kando kishada na ng'ang'o ya fourty
Kwa kichwa medulla hadi kwa magoti aah

Watch Video

About Zimepanda

Album : Zimepanda (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Muziika Online.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 10 , 2020

More VDJ JONES Lyrics

VDJ JONES
VDJ JONES
VDJ JONES
Prr
VDJ JONES

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl