Uswahilini Lyrics by SHETTA


 

Shetta X Mzee wa Bwax - Uswahilini

We jamani Uswahilini, Uswahilini, Uswahilini ndio balaa
Wameoa, wameolewa na jina la lala baa
We jamani Uswahilini, Uswahilini, Uswahilini sio poa
Huenda ni mtoto wa shehe na nnje ndo mchango doa

We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga
We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga
We cheza kama umeelewa, na kama umetinga
We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga

Eyo, uswa, uswa, uswa, uswahilini
Ugomvi chumbani, burudani kwa jirani
We choko choko uani pia na vibarazani
Viti na vijembe hadi nnje ya compound, ndani
Ila queens wapo huko usiseme kaja na nani?

Kitano kikifika, bora ujipinde na taxi
Wanangu wa kituoni kwa fix wanangoja basi
Zana za kikazi zimefichwa kwenye nyasi
Siku hizi haukabwi uloba, unapigwa tu upper cut

Ah, kina si wema, makauzi mpaka basi
Mi mwenyewe nawakubali wanapoipiga miti ngazi
Vimini ni kama beach, kuvaa chupi hawataki
Vingine fata mkeo kwao jicho la samaki

Guest kila night kama bure ziko nyomi
Zima taa usiwalaghai wazee wa chabo wapo oni
Tazani wamepay, ili nishani mlangoni
Ukiwagomea utaskia usiwahi cheza ki-Babyloni

We jamani Uswahilini, Uswahilini, Uswahilini ndio balaa
Wameoa, wameolewa na jina la lala baa
We jamani Uswahilini, Uswahilini, Uswahilini sio poa
Huenda ni mtoto wa shehe na nnje ndo mchango doa

We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga
We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga
We cheza kama umeelewa, na kama umetinga
We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga

Maisha ya uswazi mimi ndio nimezaliwa
Ugali unga robo, samaki wa kulumagia
Au Uswahilini, yaani vururana 
Mtu anapigwa ngeta kinoma noma

Au Uswahilini, ndio maisha yetu
Hatuna Wasafi wala Facebuku
Familia kubwa, tunashindia buku
Cheza na mida, utakunja patupu

Uswazi, Uswazi
Huku kwetu maji ya kunywa tunauziwa
Gurudumu, tunapewa bure

Uswazi, Uswazi
Huku kwetu maji ya kunywa tunauziwa
Gurudumu, tunapewa bure

We jamani Uswahilini, Uswahilini, Uswahilini ndio balaa
Wameoa, wameolewa na jina la lala baa
We jamani Uswahilini, Uswahilini, Uswahilini sio poa
Huenda ni mtoto wa shehe na nnje ndo mchango doa

We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga
We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga
We cheza kama umeelewa, na kama umetinga
We cheza kama umeelewa, wewe kama umetinga

Ohoo, chuma kwa chuma, cheche
Ah, baba Kyla ugomvi wa mende
Biscuiti ya chuma
Hii hapa hii, kataa tuone

Chapa, we meseni
Nikienda naenda nao (Ao ao ao ao)
Nikirudi narudi nao(Mamaaaa)
Nikienda naenda nao (Ao ao ao ao)
Nikirudi narudi nao(uo uo uo uo)

Aya mbele, mbele, mbele mbele, mbele(jamani)
Myuma, nyuma, nyuma, nyuma, nyuma(reverse)

Aya twende, mia mbili, mia mbili iyo
Mia mbili ipo chini, mia mbili
Mia mbili, mia mbili iyo
Mia mbili ipo chini, mia mbili

Aya twende tunainama, na hiyo goti
Tunainuka, we iokote


 

Watch Video

About Uswahilini

Album : Uswahilini (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 06 , 2019

More SHETTA Lyrics

SHETTA
SHETTA
SHETTA
SHETTA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl