
Aende Lyrics
...
Aende Lyrics by RONZE
Hivi ushawahi kupata
Wakukuumiza kichwa
Wakukuchanganya eeeh
Hivi ushawahi japo kubahatisha
Wakukulishisha ukazama
Nyie wenyewe kuweza
Mtu unabembelezwa
Mixer kukandwa kandwa mmmhh
Unaseviwa kingereza
Anakudekeza alaf anakuganda aaaaaahhh
Jamani mepenzi
Kupendwa kuna raha zake oooh
Jamani mahaba
Mapenzi yanautamu wake, mwakee
Ukimpata wako pendana nae
Pendana nae usimuache aende aaahh
Ukimpata wako ng’ang’ana nae
Gandana nae usimuache aende
Alivyo alivyo anapendeza
Mungo kamuongeza
Kama ye hayupo
Mfano wapo haupo
Kanitengeneza zanzibar pemba
Ndo maana nipo, nipooo
Jamani mepenzi
Kupendwa kuna raha zake oooh
Jamani mahaba
Mapenzi yanautamu wake, mwakee
Ukimpata wako pendana nae
Pendana nae usimuache aende aaahh
Ukimpata wako ng’ang’ana nae
Gandana nae usimuache aende
Watch Video
About Aende
More RONZE Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl