REUBEN KIGAME Mkono wa Bwana cover image

Mkono wa Bwana Lyrics

Mkono wa Bwana Lyrics by REUBEN KIGAME


Mengi mazuri tumeyaona
Mungu umetenda 
Ni kweli we muweza
Ulitamka vitu vikawa 
Neno tu latosha 
Ukisema umetenda 
Bahari shamu Isiraeli 
Ah uliwavusha
Kawatoa utumwani
Watumishi wako umewapa
Yote waombayo 
Ikiwa umependezwa 
Uamulo hakuna wa kulipinga
Hakika we ni Mungu wa vyote 
Unatawala dunia na vilivyomo
Makuu umeyatenda Jehova 
Tumeuna mkono wako Bwana 
Matendo yako Bwana ni makuu mno 
Umetutoa mbali
Ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi 
Chini hata juu
Watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako
Milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Ona 
Msalabani ulitufia
Hm ulitupenda 
Dhambi zetu ukabeba 
Baraka zako tuliziomba kweli tumeona
Hakika unabariki 
Hata vipaji we ndo hutoa
Umetuwezesha 
Tunaimba na kusifu
Walio haki hutowaacha
Uliwaahidi 
Hata mwisho wa dahari
Hm watu wako umewapa mamlaka 
Kwa jina lako Yesu
Waponye 
Na huna ubaguzi 

Watch Video

About Mkono wa Bwana

Album : Mkono Wa Bwana
Release Year : 2016
Copyright : ©2016
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 10 , 2020

More REUBEN KIGAME Lyrics

REUBEN KIGAME
REUBEN KIGAME
REUBEN KIGAME
REUBEN KIGAME

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl