
Tujenge Lyrics
Tujenge Lyrics by PITSON
Ndege wako na mahali pa kuenda jioni
Wanyama wa porini, jua likitua pangoni
Samaki wa majini, wana makao baharini
Wako mpangoniii..
Na kuna mkenya hana nyumba mahali(wooo)
Na zile ziko hawezi kumudu, bei ghali
Analilia serikaliii
Ategemea serikaliii
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Aaah...muanze tujenge
Aaah...tujenge
Aaah...tujenge
Kukinyesha tusinyeshewe tuwe salama
Serikali kaingilia kapunguza gharama
Today is finally here, tunahama
Finally usalama kwa wote(kwa wote)
Hata yule mapato ni duni malazi yu apata(apara)
Sisi wanaKenya tunajijenga
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
The journey starts
With you and with me(mi na we)
Freedom is here beautiful day
(Beautiful day)
Mimi na wewe ndio wenye nchi
Tujenge pamoja
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga
Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda
Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah
Tunajenga aaaah
Watch Video
About Tujenge
More PITSON Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl