26 Life Lyrics by NYANDU TOZZY
26 Life Zombie again
(It's S2kizzy beiby)
26 Life hatuboi
Na ndo maana tukikutana nao mabishoo
Madem zao hawachomoi
Na tukikujua ni fake mikausho mikali ka toy
Rest in peace Moi
Bukuku, watoto wameacha rap siku hizi wanacheza viduku
Labda zimekuwa chungu wanasign-iwa na chips kuku
Vifua vikuu wanaenda gym kumbe mambo ipo huku
Life imekuwa doja mpaka wanaume siku hizi wanajiunga vipowder
Round hii ningeambiwa nichague kazi ningekuwa soldier
Like pow pow naua mmoja mmoja
Siku hizi hatunyi tunyi --
Coz home hakuna camp guess who is bartender
Mwanangu Gigy mpe honey
Vitu vimkolee atuonyeshe masebene
Watoto wazuri siku hizi hatutaki talk talk, watoto mapene
They call me cozy sela, flow zangu hela
26 juu bendera, na nikifa naomba nizikwe Kina na ukumbwera
[Mbosso]
Eeh! Hili goma likipigwa wanangu mikono juu
Eeh wanangu mikono juu
Kambi wao chekechea sisi ndio chuo kikuu
Eeh sisi ndio chuo kikuu
Sasa! Naitangaza namba, 26
Wahuni namba 26
Kama hujasikia namba 26
Oya waambie namba 26
[Fid Q]
Kuna siri hatuwezi share na dunia
Ukipotea kuonekana kuikosea ile njia
---
---
Watch Video
About 26 Life
More lyrics from 26 Life (EP) album
More NYANDU TOZZY Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
See also
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyricsÂ
Follow Afrika Lyrics
© 2021, New Africa Media Sarl