Msalabani Lyrics
Msalabani Lyrics by NEEMA GOSPEL CHOIR
Msalabani pa Mwokozi
Wapatikaana ukombozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Msalabani pa Mwokozi
Wapatikaana ukombozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Msalabani pa Mwokozi
Wapatikaana ukombozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Msalabani pa Mwokozi
Wapatikaana ukombozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Tumesamehewa dhambi hatuna deni
Amelipa yote Bwana hatuna deni
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Tumesamehewa dhambi hatuna deni
Amelipa yote Bwana hatuna deni
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Unyenyekevu uvumilivu na upendo
Huruma nyingi na fadhili kwetu
Ni sifa za thamani zake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Unyenyekevu uvumilivu na upendo
Huruma nyingi na fadhili kwetu
Ni sifa za thamani zake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Tumesamehewa dhambi hatuna deni
Amelipa yote Bwana hatuna deni
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Tumesamehewa dhambi hatuna deni
Amelipa yote Bwana hatuna deni
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Tumesamehewa dhambi hatuna deni
Amelipa yote Bwana hatuna deni
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi
Watch Video
About Msalabani
More NEEMA GOSPEL CHOIR Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl