MONI CENTROZONE  Maelekezo Chapter One cover image

Maelekezo Chapter One Lyrics

Maelekezo Chapter One Lyrics by MONI CENTROZONE


Mi ndo yule chawa wake langa
Chawa wake Roma
Sumbuka sumboko get the money
Serve the commas

Ghafla natrend kwenye riz wananisoma
Niko jangwani sea breeze  mi nachoma
Kuona mtu wa watu na ukipanda stage ni show kali
Alafu toka wacho vinawaka kama Bob Marley

Kavitafuta mtoto mmoja msomali
Kisha mpeleke moto msonobari
Uh ulimwengu ndo mambo iko kwa kichwa
Niko na so famous kwa kitchen

Kaniambia nigga accomplish the mission
Kisha go fuvk them bitches
Kisha go pop them bottles
Nimeanza 2010 watoto wa baro

Siwezi lia kama Mukajo
Sponsa niachie my wangu
Ukiniona stage thats money
Kisha namla babe flani Fayvanny

Nashukuru Mungu naokota 
Hivyo sishoboki na hizo shows
Mi mwenyewe promoter I promote my own shows
Nimetoka mlo mmoja mpaka sasa money flows

--
---

Watch Video

About Maelekezo Chapter One

Album : Maelekezo Chapter One (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 12 , 2020

More MONI CENTROZONE Lyrics

MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl