Nitamsifu Lyrics
Nitamsifu Lyrics by MERCY MASIKA
Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote
Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Hekaluni mwake nitasujudu daima
Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote
Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Hekaluni mwake nitasujudu daima
Maana kusifu, kunawapaswa
Wanyoofu wa moyo
Mimi na nyumba yangu
Tutamsifu Bwana siku zote (Be the real)
Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana
Sitarudi nyuma
Wala sitatazama yaliyopita
Hata shetani akinikumbusha
Nitamuonyesha ukurasa mpya
Nitasonga mbele na Yesu
Wala sitaacha familia nyuma
Nitasonga mbele na Yesu
Yesu
Nitatangaza sifa zake
Mbele ya mataifa yote
Sifa zake na zijulikane
Kwa wote eeh
Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana
Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana
Watch Video
About Nitamsifu
More lyrics from Zaidi album
More MERCY MASIKA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl