MERCY MASIKA Nitamsifu cover image

Nitamsifu Lyrics

Nitamsifu Lyrics by MERCY MASIKA


Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote 
Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Hekaluni mwake nitasujudu daima

Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote 
Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Hekaluni mwake nitasujudu daima

Maana kusifu, kunawapaswa
Wanyoofu wa moyo
Mimi na nyumba yangu 
Tutamsifu Bwana siku zote (Be the real)

Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana

Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana

Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana

Sitarudi nyuma
Wala sitatazama yaliyopita
Hata shetani akinikumbusha
Nitamuonyesha ukurasa mpya

Nitasonga mbele na Yesu
Wala sitaacha familia nyuma
Nitasonga mbele na Yesu
Yesu

Nitatangaza sifa zake
Mbele ya mataifa yote
Sifa zake na zijulikane
Kwa wote eeh

Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana

Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana

Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana

Leo nimeamua
Mimi na nyumba yangu
Tutamtumikia Bwana

Nataka mtaani wajue
Taifa langu wajue
Tutamtumikia Bwana

Marafiki nao wajue
Majirani nao wajue
Tutamtumikia Bwana

Watch Video

About Nitamsifu

Album : Zaidi/ Nitamsifu (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 27 , 2020

More lyrics from Zaidi album

More MERCY MASIKA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl