MAVOKALI Nitakusahau cover image

Nitakusahau Lyrics

Nitakusahau Lyrics by MAVOKALI


Mi mwenzako sina amani ya mapenzi
Mi mwenzako sina hata wa kunienzi
Umeumiza mtima mama umebadili na jezi
Umesema umesanda nakunipenda huwezi

Kukicha alfajiri unaidanganya siri
Mabaya yako uyaache
Umevunja nadhiri kunipena mimi
Labda uchungu ukukamate

Umekumbwa na nini ama mdudu jini
Mbona unanifanya nidate
Hata salamu nikikupa unanichunia

Marafiki zako akina Doni Masha na kina Lokole
Insta mnanichamba mnasema eti mmenipatia
Na ni nguvu sina

Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau

Ila bado siamini upweke wangu
Nakesha ndani kama nini peke yangu
Nina michale kama jini mwilini mwangu
Nife nifukiwe chini niende zangu

Ila bado mimi nangoja 
Kama utarudi basi
Uje uniondoe simanzi utaniua

Marafiki zako akina Doni Masha na kina Lokole
Insta mnanichamba mnasema eti mmenipatia
Na ni nguvu sina

Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau

Nitakusahau mazima nisikuone
Nitakusahau nitakusahau kipenzi
Naona umeshapanda dau

Watch Video

About Nitakusahau

Album : Nitakusahau (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 16 , 2021

More MAVOKALI Lyrics

MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl