BALAA MC  We Nani cover image

We Nani Lyrics

We Nani Lyrics by BALAA MC


We nani? Hallo hallo hallo
We nani? Hallo hallo hallo
We nani? Hallo hallo hallo
We nani? Hallo hallo hallo

Dah! ina maana ulifuta
Siri ya zimenisahau kabisa
Sawa kitambo kidogo miaka sasa imepita
Ila sio kweli unisahau kabisa

Ila sawa, naskia umeolewa mwana
Tena una mtoto umefanana nayeye sana
Hongera hongera mama
Mi bado nipo naendelea kupambana

Mi ndo yule ulonidanganya unanipenda
Kisa umasikini ukaniacha ukaenda
Ulitaka nyama ulishindwa kula mrenda
Mwisho wa siku ukanitoroka ukaenda

Ila kipi ulitaka sijakupatia?
Mapenzi ya dhati nilikuonyeshea
Kuzingatia nilikuzingatia
Kwa mama Sara kijona nilikulipia

Hatugombani nakukumbusha tu
Ishi kwa amani usiishi roho juu
Simu yangu si ya ugomvi nilikumiss tu
Japo umeondoka ila moyoni unaishi

Ila sawa, naskia umeolewa mwana
Tena una mtoto umefanana nayeye sana
Hongera hongera mama
Mi bado nipo naendelea kupambana

We nani? Hallo hallo hallo
We nani? Hallo hallo hallo
We nani? Hallo hallo hallo
We nani? Hallo hallo hallo

Jamani hii, hii, nikuogope
We eti nisibakie nikuogope wewe
Hii, hii, akuogope
We eti asicheze chura akuogope wewe

Shika chini we dada usiangalie sura
Tikisa moja moja sijaona ukicheza chura
Twende 

Shika chini we dada usiangalie sura
Tikisa moja moja sijaona ukicheza chura
Twende 

Hii, hii, nikuogope
Haunilishi haunivishi nikuogope wewe
Hii, hii, nikuogope
Sikujui hunijui nikuogope wewe

Sina fagio fagio langu la chuma
Kwanza hatuendani mi mzingua sijui mwenzangu
Sina fagio fagio langu la chuma
Kwanza hatuendani mi makonde sijui mwenzangu

Jamani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
Na mi ni mwanadamu isipokuwa nina mapungufu
Jamani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
Na mi ni mwanadamu isipokuwa nina mapungufu

Jamani we mcheza kususia 
Na sijaona ukisusa
Hilo amekupa amekususia 

Ole mcheza kususia 
Na sijaona ukisusa
Hilo amekupa amekususia 

Watch Video

About We Nani

Album : We Nani (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 06 , 2020

More BALAA MC Lyrics

BALAA MC
BALAA MC
BALAA MC
BALAA MC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl