MATTAN Mbona cover image

Mbona Lyrics

Mbona Lyrics by MATTAN


Mimi sitaki tena kusikia umeniumiza
Alpha na Omega mwanzo mwisho katu sitokuwaza
Umenisulubu kwa adhabu
Nami mdhaifu kwako nyang'afu

Na si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe 
Kifaranga manjonzi furaha ya mwewe

Si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe 
Oooh 

Na mbona mbona mbona mbona?
Upendo daraja limevunjika
Mbona mbona mbona mbona?
Furaha umebadili kuwa maumivu

Mbona mbona mbona mbona?
Nafanyaje ndo hivi najikokota
Mbona mbona mbona mbona?
Kiranga mbele nimebaki bubu

Lahili wa nahari
Silali unono zake hiana
Akaenda upepo mwanana
Kavuka nyika nami simanzi

Sipati jawabu juu ya hili
Jambo najiuliza
Umefichuka kichaka uloficha mechacha
Niparua makucha mmmh
Kutaka kunikomoa
Nia yako kusudi umevuja pakacha 

Na si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe 
Kifaranga manjonzi furaha ya mwewe

Si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe 
Oooh 

Na mbona mbona mbona mbona?
Upendo daraja limevunjika
Mbona mbona mbona mbona?
Furaha umebadili kuwa maumivu

Mbona mbona mbona mbona?
Nafanyaje ndo hivi najikokota
Mbona mbona mbona mbona?
Kiranga mbele nimebaki bubu

Watch Video

About Mbona

Album : Mbona (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 08 , 2020

More MATTAN Lyrics

MATTAN
MATTAN
MATTAN
MATTAN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl