MARIOO Nikazama  cover image

Nikazama Lyrics

Nikazama Lyrics by MARIOO


Sina baya na wewe
Wala sija kuku njia
Ila sometimes mahasira
Siunajua wanadamo aah
Sina noma an wewe
Wala sija kununia
Ila nime kublock kwasababu
Nikikuona nakosa hamu
Ya kula Hata kulala
Mwenzako kazi nashindwa
Hata kufanya
Umenlogea wapi..? we we aah
Nashindwa kula wala kulala
Mwenzako kazi siwezi
Hata kufanya
Umenlogea wapi..? we we aah
Hapana hujani loga
Huja niloga
Labda tu penzi lili noga
Nika kupenda kiukweli ukweli
Nika ingiaa

Nika zama
Nika zama
Nika zama
Nika zama

Liki tajwa jina lako oooh
Moyo unanidunda oooh
Yanijia sura yako oooh
Do do
Siwazi kurudia na sitaki ku rudia na
Ila sipendi kubakia na duku duku rohoni
Tuli pendana kwa shida tuka achana kifala
Sawa Jopo nililia
Mpaka ndugu waka sema ume niloga
Hapana kujani loga
Huja niloga
Labda tu penzi lili
Nika kupenda kiukweli ukweli
Kika ingiaa

Nika zama
Nika zama
Nika zama
Nika zama

Watch Video

About Nikazama

Album : The Kid You Know (EP)
Release Year : 2023
Added By : Sainclair Fonkou
Published : Jul 08 , 2023

More MARIOO Lyrics

MARIOO
MARIOO
MARIOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl