...

Mvua Lyrics by MARIOO


Mungu ndio mtaalamu

Mtaalamu wa kumatchisha

Ndomaana akaamua kunipa wewe eeh

Ona tulivyomatchisha

Ah Mungu, fundi

Dongo kalifinyanga

We mzuri hauna mapepe pepe

Nami magenta sinanga

Moja, mbili

Na tatu, namba zote za kwako

Mi kama maji mtungini

Sina makando kando

Baby mimi na wewe

Ni mtu na mtu wake eeh

Sifurukuti, siruki

Ndege ina mti wake

Mimi na wewe

Mtu na tamu yake

Nishapatikana, sijapatikana

Na kama inanyesha inyeshe

Ooo mvua

Mvua nyesha mvua

Huku nataka nikumbatiwe mimi

Mvua nyesha mvua

Ooo mvua

Mvua nyesha mvua

Unataka nipetiwe mimi

Mvua nyesha mvua, mvua

I wish ningekuwa na uwezo ni mjengee mama ake

Nyumba kali Mombasa

Mama mzaaa chema

Kaweza kaweza tena

Ningekuwa na uwezo ningemletea baba ake

Hata ka Verossa

Baba mzaaa chema kaweza

Mana ingekuwa mapenzi Safari, safari

Muda huu niko Kigoma mwisho wa reli

Oh baby mimi na wewe

Ni mtu na mtu wake

Sifurukuti, siruki

Ndege ina mtu wake

Mimi na wewe

Mtu na tamu yake

Nishajipata, sijapatikana

Na kama inanyesha inyeshe

Ooo mvua

Mvua nyesha mvua

Huku nataka nikumbatiwe mimi

Mvua nyesha mvua

Ooo mvua

Mvua nyesha mvua eeh

Unataka nipetiwe mimi

Mvua nyesha mvua, mvua

Watch Video

About Mvua

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : ©2025 Bad Nation.All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Jul 28 , 2025

More MARIOO Lyrics

MARIOO
MARIOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl