Bakwine Lyrics by MANENGO


Huh zindegimera na dushi
Usicheze na wakushi utanawa tu ila msosi ukusi
Ukileta habari za kizushi, mangumi vifurushi
Na hatushushi vioo tukiwa tunapush

Uhangaika wa riziki wao ndo basi tena
Isingekuwa hivi hadi nao 
Yanofurahisha yajayo
Mambo ni wiz wiz kidayo

Watafreeze na haifiki hata wiki ijayo
Msodoki fundi wa mafundi yaani mwana wa marundi
Sigungi kulewa na kutupiana vishungi
Jambazi shoga shungi stams pa nyota mi na Ruby
Cheki hawaoni mbele wamebugi

Mwanza Mwanza kwenye map
Mbele ya watu na viatu
Inaitwa mwana ukome hio
Usiende disco JUmatatu

Rookie joker, uruki chatu
Bila mgumo kuna trap
Vitendo dhidi ya maneno hio nobody can stop me
Msodoki mwanaume wa mashoko na round hii
Walahi I don't need enemies allow me
Makuzi allow me, mapuuzi kama puzi allow me

Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero

---
---

Watch Video

About Bakwine

Album : Bakwine (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 12 , 2021

More MANENGO Lyrics

MANENGO
MANENGO
MANENGO
MANENGO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl