Nitalewa Lyrics by MADINI CLASSIC


Nachojua mapenzi sio rangi ya kinyonga
Haibadiliki
Mapenzi majira saa ya ukutani 
Ukishaelewa ndo basi

Na wakati mwingine usishangae
Mbona haikwendagi sawa sawa
Unayempenda anapenda asiyempenda sawa
Hata duniani hakuna aliyekamilika
So moyo wangu tulia eeh
Usione unaonewa 
So moyo wangu tulia eeh

Niliyempenda nikampa vyote
Nikamdhamini tena nikamwacha akaenda
Ama ni nyota ya kupenda sina

Basi wacha nilewe, mi nitalewa
Nitalewa nitazima, mi nitalewa
Kama mapenzi yamenilemea
Haya haya haya, haya haya

Mola nipe ujasiri angalau nipate wa kunistiri
Am so broken ila hadharani nitajifosi kucheka
Nisionekane mnyonge

Mwili unapanda joto hakuna wa kunikoza
Nabaki nalia kama mtoto machozi hakuna wa kunifuta
Na usidharau chumvi asubuhi 
Na nahitaji lako kwa chai sukari
Ndivyo alivyonichukulia mwisho wa siku akanitema tema
Kama tango tango, sikumnyima nilimpa tango
For real love is so wicked, wicked love so wicked

Niliyempenda nikampa vyote
Nikamdhamini tena nikamwacha akaenda
Ama ni nyota ya kupenda sina

Basi wacha nilewe, mi nitalewa
Nitalewa nitazima yeah, mi nitalewa
Kama mapenzi yamenilemea, mi nitalewa
Nitalewa nitazima yeah, mi nitalewa

Kama mapenzi yamenilemea, mi nitalewa
Nitalewa nitazima aaaah
Kama mapenzi yamenilemea, mi nitalewa
Nitalewa nitazima mimi mimi

Kama mapenzi yamenilemea..

Nitalewa, nitalewa
Nitalewa, nitalewa

Watch Video

About Nitalewa

Album : Nitalewa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 12 , 2021

More MADINI CLASSIC Lyrics

MADINI CLASSIC
MADINI CLASSIC
MADINI CLASSIC
MADINI CLASSIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl