MABANTU Mwenye Nyumba  cover image

Mwenye Nyumba Lyrics

Mwenye Nyumba Lyrics by MABANTU


Samahani mwenye nyumba 
Hela yako nitakulipa
Nimempeleka mama yangu hospitali anaumwa
"Wewe usifananishe kodi yangu na vitu vya kijinga
Kati ya nyumba yako na mama yako kipi muhimu?
Jagul, Jagul Nataka kodi yangu
Ehh bwana ey ey ey, nataka kodi yangu
Ng'ombe hamnijui eeh"

Eeh bwana namuogopa Mungu wanafuata wazazi
Nikimuacha bosi anafuata mwenye nyumba
Omba hii haki ya Mungu kufichwa kweli kazi
Kusema kweli mi ananikata

Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao

Au kuna boya kaniotea
Maana kila nachofanya napotea
Nitakulipa mwezi ujao!

Mbona nadata mshahara umeisha
Na sijaupokea (Mwenye nyumba!)
Jana kweli mmeposti
Vile vinoti vingi kwa pochi
(Nitakulipa mwezi ujao!)

Walahi siongopi, vile vinoti
Vya bwana bosi  (Mwenye nyumba!)
Hivi mwenye nyumba ananipenda eeh
(Nitakulipa mwezi ujao!)

Au unanipenda?
(Nitakulipa mwezi ujao!)
Eti unanipenda?
(Nitakulipa mwezi ujao!)
Mwenzako nakupenda (Mwenye nyumba!)

Eeh bwana namuogopa Mungu wanafuata wazazi
Nikimuacha bosi anafuata mwenye nyumba
Omba hii haki ya Mungu kufichwa kweli kazi
Kusema kweli mi ananikata

Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao

Eeh bana nauza feni, nauza jiko
Mwenzenu nimeishiwa kodi ya (Mwenye nyumba!)
Nauza godoro pia na subwofer
Nataka nikalipe kodi ya (Mwenye nyumba!)

Kodi yako inaisha lini?
Yangu kesho kutwa 
Yako inaisha lini boshe 
Kesho kutwa! 

Kodi yako inaisha lini?
Yangu mwezi ujao 
We yako inaisha lini jirani?
Mwezi ujao

Hivi mwenye nyumba hujanipenda
(Nitakulipa mwezi ujao!)
Mwenzako nakupenda
(Nitakulipa mwezi ujao!)

We hujanipenda?
(Nitakulipa mwezi ujao!)
Mi nakupenda
(Mwenye nyumba)

Eeh bwana namuogopa Mungu wanafuata wazazi
Nikimuacha bosi anafuata mwenye nyumba
Omba hii haki ya Mungu kufichwa kweli kazi
Kusema kweli mi ananikata

Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao

Eeh bwana namuogopa Mungu wanafuata wazazi
Nikimuacha bosi anafuata mwenye nyumba
Omba hii haki ya Mungu kufichwa kweli kazi
Kusema kweli mi ananikata

Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao
Mwenye nyumba, nitakulipa mwezi ujao

Watch Video

About Mwenye Nyumba

Album : Mwenye Nyumba (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 02 , 2021

More MABANTU Lyrics

MABANTU
MABANTU
MABANTU
MABANTU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl