Mama Lyrics by LULU DIVA


This goes to all mama's in the world
Diva Divana nawapenda wote
(350)

Hii ni kutoka moyoni nakupenda mama
Hii ndo sababu mwanao kutwa napambana
Kinachonitesa moyoni unaumwa sana
Ila naamini ipo siku utapona

Mama sio yule wa kula mwenyewe
Huwezi simama mwenyewe
Leo mengine siri yangu mwenyewe

Baba ameaga nimebaki na wewe
Na umenizaa mwenyewe
Leo napambana usivunjike imani
Imani yangu mama

Utapona, utapona tena
Mama Lulu Divana
Utapona, utapona mama
Najua Mungu anakuona

Utapona, utapona tena
Mama yangu mama angu
Utapona, utapona mama
Najua Mungu anakuona 

Mama Lulu Diva nao
Ah ah ah mmmh mmh

Leo nimekuwa maarufu kidogo, najulikana 
Natamani ungekula matunda ya mwanao mama
Sina kaka sina dada wala mdogo, yaani taabu sana
Rudisha ufahamu kidogo, uniite mwana 

Eeeh Mola fanya miujiza, miujiza, miujiza
Mama apone tena 

Baba ameaga nimebaki na wewe
Na umenizaa mwenyewe
Leo napambana usivunjike imani
Imani yangu mama

Utapona, utapona tena
Mama Lulu Divana
Utapona, utapona mama
Najua Mungu anakuona

Utapona, utapona tena
Mama yangu mama angu
Utapona, utapona mama
Najua Mungu anakuona 

Mama Lulu Diva nao
Ah ah ah mmmh mmh

Poa poa poa poa, mama Divana mama
Poa poa poa poa, mama Samia mama
Poa poa poa poa, Umi Mwalimu mama
Poa poa poa poa, mama Dangote mama

Watch Video

About Mama

Album : Mama (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 12 , 2021

More LULU DIVA Lyrics

LULU DIVA
LULU DIVA
LULU DIVA
LULU DIVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl