Aza Lyrics by LINEX SUNDAY MJEDA


The V.O.A

Wisigiza uwutagukunda
Ukamali chwende
Wisigiza uwutagukunda

Kama pesa mbongo
Niko nayo aza wowooh
Shatemu boku aza
Nakupenda sana

Sikukatazi kuringa aza, najua
Mwanamke maringo wooh
Kwa penzi lako aza
Niko maji ya shingo

Aza umekua kama mwiba
Au mkuki moyoni
Una enjoy tano unagonga na mashoga zako
Kuniona nalia hadharani
Aza ooh ooh
Aza oooh, eh eh
Aza aza, aza aza
Nishabadilisha sana njia
Nisikutane nawe aza
Nisiumize moyo wangu bure
Nikikukuta na wengine
Ni mara ngapi nimeshauza roho (aza aza)
Kwa ajili yako (aza)
Nawaonea wivu wapenzi ambao
Wana enjoy mapenzi yao
Wana lala usingizi mnono
Fo fo fo
Kwa raha zao

Kwani kukupenda shingapi
Aza wowooh
Kwako nishafanya mangapi
Aza wowooh
Kwani kukupenda shingapi
Aza wowooh
Kwako nishafanya mangapi
Aza wowooh

Aza fame ya biee
Aza fame ya kabambbee

Unaendesha gari ambalo kadi yake
Haina, jina lako
Unapendeza unakunywa pombe za juu
Kwa pesa ambayo sio yako
Ulitembea na rafiki zangu
Nikakubali (aza)
Nahu mwana, yali mutoli
Sikukatazi kuringa aza, najua
Mwanamke maringo wooh
Kwa penzi lako aza
Niko maji ya shingo

Tunapigana vikumbo
Kwenye nyumba za starehe
Kama nina vita na wewe
Ishi raha mstarehe
Nife mimi ubaki wewe
Uishi raha mstarehe
Amagongwa yi mbwa
Yambiswe ulushato gwimpene
Na yoluliyeeee eehe

Kwani kukupenda shingapi
Aza wowooh
Kwako nishafanya mangapi
Aza wowooh
Kwani kukupenda shingapi
Aza wowooh
Kwako nishafanya mangapi
Aza wowooh

Kama, unaitaka roho yangu
Ruksa chukua, aza
Aza fame ya biee
Aza fame ya kabambe

Watch Video

About Aza

Album : Aza (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Dec 09 , 2020

More LINEX SUNDAY MJEDA Lyrics

LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl