KUSAH Najua  cover image

Najua Lyrics

Najua Lyrics by KUSAH


Mmmh baby, hivi ni wewe
Mmmh ni wewe
Hata siamini kama ni wewe
Mmmh ni wewe

Niliona huku  mbona ni aibu
Mbona sina kosa unaniadhibu
Unafanya haya unanisulubu
Si ungesema kwamba baby najaribu
Ningewaza ningepata hata majibu
Mbona umeniweka kwenye majaribu
(Kusah mbona sikuelewi?)

Utanielewa si ulilewa
Walichotaka tiyari wamefanikiwa
Umenidhalilisha

Kufanya nimekuelewa
Mimi mwelewa
Je ningekuwa mimi wewe ungenielewa
Umeninyong'onyesha (Dah unanichanganya)

Ukiwa nyumbani boo, unanijaza tu
Eti ni mimi tu niko mwenyewe
Super makongo juu, kwa mume mwezangu
Unanikatili

Mwambie vya kuiba, kwa ndani vina miiba
Mi mwanaume mwenzie ananiumiza
Si ungemwambia kwao, kwako sijiwezi umenifunga kamba
Nimekubali kwamba, yeah nikidunda umenishinda mwamba
Na yule wa mbezi dalali si umetoka naye
Wala mi sina shida naye
Ila jua nini jua

Na yule bodaboda kala uroda kakuroga eh
Umenidhalilisha dada wee, mmmh

Mbona umefanya vibaya baby wee
Umenikatili
Ilegeza baya hunnie wee
Umezima kandili mmmh

 

Watch Video

About Najua

Album : Najua (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 30 , 2021

More KUSAH Lyrics

KUSAH
Aga
KUSAH
KUSAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl