...

Wachana Naye Lyrics by KingsMainaMSsteve


Taratibu wazee Kwa vijana wamama kwa wasichana

Karibieni sauti inawalilia kwa huzuni mingi

Samahani wapenzi tega maskio mniskilize

Mazuri apakwa wingi maovu yote

Tunaodoa ukurasani chunga tamaa ya nje itakuagamiza na usahaulike

Chizika na wako wa nyumbani mwenye mapenzi

Kiupendo ya kifahali isiyo ya leo leo leo tu

Milele milele eeh nasema tena milele milele eeh

Kaa ukijua eti ukimuona kavalia miniskirt nusu uchi uwe

Kijana ama mzee Wachana Naye anasifa za kuacha

Mapaja na migogo wazi mwenye kumelemeta

Kaa maridadi car usiku anakaa mwagaza

Ila akipita usimkonyeze jicho usije ukajisahau

Huyo ni mtapeli wa mali yako mwenye mapambo kupedeza sauti

Guzo tu kuvutia kukuharibia ujana tu

Sometime amevalia kogi kogi utaskia kogi kogi

Akipita kwa marigo huyo ni kama funza anasaka

Pakutubukia kwa muda ooh hao maabunuasi wako hapo ulipo

Walalahoi na walalahai wote wakitubukia ndani kwa ndani

Na kusahau na familia zao manyumbani

Kuwa mjaja usifanywe mtumwa wakate waodoe

Kwa line up ya maisha yako usipagwe na nderemo

Na shagwe siku zote jijue wewe mwenyewe

Uwapedao uwatunze dio watakao kuzika watasimama

Nawe wakati wowote kama ujui jua leo

Hakuna aliye kama wewe ulimwegu mzima

Sio siri tena ni wazi hatharani hawa watu wako

Mumejionea wenyewe jihathali ishi na watu vizuri eeh

Huyo ni mtapeli wa mali yako mwenye mapambo

Kupedeza sauti guzo tu kuvutia kukuharibia ujana tu eeh

Watch Video

About Wachana Naye

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright :
Added By : KingsMainaMSsteve
Published : Oct 15 , 2024

More KingsMainaMSsteve Lyrics

KingsMainaMSsteve
KingsMainaMSsteve
KingsMainaMSsteve
KingsMainaMSsteve

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl