...

William Ruto Lyrics by KingsMainaMSsteve


William ruto william ruto

William ruto nimekuita mara ngapi wewe ni wetu

Mimi ni wenyu wakenya wote ni wenyu tunakupeda sana

William ruto william ruto

William ruto nimekuita mara ngapi wewe ni wetu

Mimi ni wenyu wakenya wote ni wenyu tunakupeda sana

Mzee na kazi baba wa taifa maedeleo tunayo tunajuvunia kuepo kwako

Asubuhi nikiamuka humuombea sana william ruto

Abarikiwe naibu wake pia abarikiwe siku nyingi duniani

Ruto kasema ni vyiema kupea mifugo chanjo

Faida kwako wewe mkulima

Kama umejega nyumba kwa bei nafuu

Nani mwingine kama wewe akuna umetujegea mashule

Mabalabala amani ya wakenya umetuletea mambo mazuri

Ya sha karo umepunguza watoto wanasoma vizuri nani mwingine

Kama wewe akuna william ruto wewe

Ni mzuri ubagui wewe ni wa kabira fulani umetoka

Wapi unfanyaga nini unatupeda sote

Kama wakenya kitu kimoja kama ni pesa unagawanisha

Vizuri tunajuvunia wewe baba wa taifa

Ata walale waamuke waseme ubaya wako

Mimi nitakupeda nitakupeda zaidi ya jana

Ebu taazama furaha ya wakenya ukieda

Mombasa wanasema william ruto tosha

Nairobi nakuru na country zote za

Kenya tumeugana tunasema william ruto

Tosha mambo mazuri huchukua muda tumpe

Nafasi tafadhari walisema agusha bei ya sukari umeangusha

Wakasema agusha bei ya uga umeangusha

Mafuta pia umeangusha nani mwingine

Kama wewe akuna mtu ni william samoe ruto tano tena

Mtu ni william samoe ruto mtu ni william samoe ruto

Watch Video

About William Ruto

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : KingsMainaMSsteve
Published : Mar 18 , 2025

More KingsMainaMSsteve Lyrics

KingsMainaMSsteve
KingsMainaMSsteve
KingsMainaMSsteve
KingsMainaMSsteve

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl