
Si Mimi Lyrics
...
Si Mimi Lyrics by JUX
Heyyyy Yee
Yeyi Yeee
Eh Nitazunguka dunia
Nitangaze sifa zako, Uzuri wako
Siwezi fanya siri
Wanibebeshe gunia
Na zote dhambi zako, Sumu yako
Imetawala mwili
Si Mimi
Ni akili yangu
Si Mimi
Ni moyo wangu
Si Mimi
Ni mawazo yangu
Si Mimi
Labda roho yangu
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
Eeeehh
Oooh
Aaah
We ndo daktari
Mponya maradhi, Yani kama zali
Zali la mentali
Nakupenda kweli
Hilo liko wazi, Jua ukinitupa
Utaniachia simanzi
Si Mimi
Ni akili yangu
Si Mimi
Ni moyo wangu
Si Mimi
Ni mawazo yangu
Si Mimi
Labda roho yangu
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
Watch Video
About Si Mimi
More JUX Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl